Ulitwaa sehemu ya nguo zako, ukaitumia kwa kupamba pahali pako pa kutambikia na hapo ndipo ukafanyia uzinzi wako. Jambo la namna hiyo halijapata kutokea wala halitatokea hata kidogo!
Hiyo ni sheria juu ya taka la ukoma linalotokea katika nguo ya sufu au kitani au iliyofumwa au iliyosokotwa au ya ngozi. Kwa njia hiyo mutaweza kutia tofauti kati ya nguo isiyokuwa chafu na ile inayokuwa chafu.
muwaokoe, mukiwaopoa toka katika moto. Muwasikilie vilevile wengine huruma, lakini kwa woga, mukichukia hata nguo zao zilizochafuliwa na tamaa zao mbaya.