Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:44 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

44 basi, mutu yule ana ukoma, yeye ni muchafu. Kuhani atamutangaza mutu huyo kuwa muchafu. Ugonjwa wake uko kwenye kichwa chake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:44
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanakufa wangali bado vijana, maisha yao yanaisha kama ya washerati.


Niwapige wapi tena, ninyi munaoendelea kuasi? Kichwa chote kinajaa vidonda, na moyo unaumia kabisa!


Kuhani atamwangalia. Ikiwa kuhani ataona kwamba hicho kivimba ni chekundu-cheupe kwenye upaa au kwenye paji lake na unaonekana kama ukoma kwenye ngozi yake,


Mwenye ukoma yeyote atavaa nguo zilizochanika, nywele zake hatazichanuliwa, na mudomo wake wa juu ataufunika na atalalamika akisema: Mimi ni muchafu, mimi ni muchafu.


Lakini kama macho yako yanaharibika, mwili wako wote utabaki katika giza. Basi ikiwa mwangaza unaokuwa ndani yako umegeuka kuwa giza, giza hilo ni nzito sana!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ