Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:36 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

36 mutu yule ataangaliwa na kuhani na ikiwa vimeenea kwenye ngozi, kuhani hatahitaji kutafuta nywele zenye rangi manjano. Mutu yule atakuwa muchafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:36
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kuhani ataangalia ugonjwa huo. Ikiwa kuhani ataona kwamba kuna shimo na nywele ni manjano na nyembamba, basi, atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana huo ni upele na ni ukoma wa kichwa au wa kidevu.


Lakini ikiwa vipele hivyo vimeenea kisha kutakaswa,


Lakini ikiwa kuhani ataona kwamba vile vipele vimepona na nywele nyeusi zimeota pahali pale, basi, vidonda vimepona, basi, mutu yule ni safi. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa safi.


Siku ya saba kuhani atarudi na kuangalia tena nyumba hiyo. Ikiwa taka lile limeenea katika kuta za nyumba hiyo,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ