Walawi 13:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Siku ya saba, kuhani ataangalia vile vipele. Ikiwa kuhani ataona kwamba vipele hivyo havikuenea kwenye ngozi na wala havikuingia ndani ya ngozi, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi. Mutu huyo atafua nguo zake, naye atakuwa safi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |