Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Siku ya saba, kuhani ataangalia vile vipele. Ikiwa kuhani ataona kwamba vipele hivyo havikuenea kwenye ngozi na wala havikuingia ndani ya ngozi, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi. Mutu huyo atafua nguo zake, naye atakuwa safi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:34
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kuhani ataangalia ugonjwa huo. Ikiwa kuhani ataona kwamba kuna shimo na nywele ni manjano na nyembamba, basi, atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana huo ni upele na ni ukoma wa kichwa au wa kidevu.


mutu yule atanyoa nywele au ndevu zake. Lakini pahali pale penye vipele hatapanyoa. Kisha kuhani atamutenga mutu yule kwa muda mwingine wa siku saba.


Lakini ikiwa vipele hivyo vimeenea kisha kutakaswa,


Wapendwa wangu, musimwaminie kila mutu anayesema kwamba yuko na Roho wa Mungu, lakini mumupime kwa kuhakikisha kama roho yule anatoka kwa Mungu. Kwa maana manabii wengi wa uongo wametokea katika dunia.


Mukuwe na moyo wa huruma kwa wale wanaokuwa na mashaka:


Ninajua matendo yako na taabu yako na uvumilivu wako. Ninajua kwamba hauwezi kuwakubali watu waovu. Umewapima wale wanaojiita mitume, kumbe si mitume, nawe ukatambua kwamba ni wasema uongo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ