Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Siku ya saba kuhani ataangalia kile kidonda. Kama kidonda hicho hakijaenea na hakuna nywele zenye rangi ya manjano wala hakuna vipele vyovyote pahali pale, basi,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:32
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kuhani ataangalia ugonjwa huo. Ikiwa kuhani ataona kwamba kuna shimo na nywele ni manjano na nyembamba, basi, atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana huo ni upele na ni ukoma wa kichwa au wa kidevu.


Kama kuhani ataona kwamba hakuna shimo na nywele si nyeusi, basi kuhani atamutenga mutu yule kwa muda wa siku saba.


mutu yule atanyoa nywele au ndevu zake. Lakini pahali pale penye vipele hatapanyoa. Kisha kuhani atamutenga mutu yule kwa muda mwingine wa siku saba.


Wanafanya matendo yao yote tu kusudi wajionyeshe mbele ya watu. Wanajifungia kwa paji za nyuso vibweta vipana vyenye vikaratasi vya Maandiko Matakatifu. Nao wanavaa kanzu zenye pembe ndefu.


Unajisifu kwamba unajua Sheria, lakini unamuzarau Mungu kwa kuvunja Sheria!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ