Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 kuhani ataangalia ugonjwa huo. Ikiwa kuhani ataona kwamba kuna shimo na nywele ni manjano na nyembamba, basi, atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana huo ni upele na ni ukoma wa kichwa au wa kidevu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:30
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama mutu yeyote mwanaume au mwanamuke, ana kidonda juu ya kichwa au kwenye kidevu,


Kama kuhani ataona kwamba hakuna shimo na nywele si nyeusi, basi kuhani atamutenga mutu yule kwa muda wa siku saba.


Siku ya saba kuhani ataangalia kile kidonda. Kama kidonda hicho hakijaenea na hakuna nywele zenye rangi ya manjano wala hakuna vipele vyovyote pahali pale, basi,


Hii ndiyo sheria juu ya aina yoyote ya taka la ukoma;


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ