Walawi 13:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 kuhani ataangalia ugonjwa huo. Ikiwa kuhani ataona kwamba kuna shimo na nywele ni manjano na nyembamba, basi, atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana huo ni upele na ni ukoma wa kichwa au wa kidevu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |