Walawi 13:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Lakini, kama ile alama haijaenea, lakini imefifia, hicho ni kivimba kilichotokana na kuungua. Basi, kuhani atamutangaza mutu yule kuwa safi, maana hilo ni kovu la kuungua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |