Walawi 13:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 kuhani atapaangalia. Kama akiona kwamba nywele zimegeuka kuwa nyeupe na pana shimo, basi, huo ni ukoma. Ukoma huo umejitokeza kwa njia ya pahali pale palipoungua. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana ana ugonjwa wa ukoma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |