Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 kuhani atapaangalia. Kama akiona kwamba nywele zimegeuka kuwa nyeupe na pana shimo, basi, huo ni ukoma. Ukoma huo umejitokeza kwa njia ya pahali pale palipoungua. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, maana ana ugonjwa wa ukoma.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:25
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo ukoma wa Namani utakushika wewe, na wazao wako milele.” Basi, Gehazi aliondoka akiwa ameshikwa na ukoma, na ngozi yake ilikuwa nyeupe kama teluji.


Tena, Yawe akamwambia Musa: “Ingiza mukono wako kwenye kifua chako.” Musa akafanya hivyo. Alipoutoa inje, ukakuwa na ukoma, mweupe kama teluji.


Au, ikiwa kuna pahali palipoungua na ile nyama mbichi imegeuka kuwa nyekundu-nyeupe au ni nyeupe,


Lakini kama kuhani akiona kwamba nywele za pahali pale si nyeupe na hakuna shimo lakini pamefifia, basi, kuhani atamutenga mutu yule kwa muda wa siku saba.


Lakini ikiwa kipele hicho, ingawa ni cheupe hakikuingia ndani sana ya ngozi na wala nywele za pahali pale hazikubadilika kuwa nyeupe, basi, kuhani atamutenga mutu yule kwa muda wa siku saba.


Wingu lilipoondoka juu ya hema la mukutano, Miriamu akaonekana yuko na ukoma, mweupe kama teluji. Haruni alipogeuka na kumwangalia Miriamu, akashangaa kuona kwamba ameshikwa na ukoma.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ