Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Kama ugonjwa huo ukienea kwenye ngozi, basi, kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, sehemu hiyo ina ugonjwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:22
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ikiwa mutu yeyote atakuwa na kivimba au upele au chunuku juu ya mwili wake, ikionekana kwamba ni ukoma, basi, ataletwa kwa kuhani Haruni au mumoja wa wana wake anayekuwa kuhani.


Lakini kama kuhani akimwangalia yule mutu na kuona kwamba nywele za pahali pale si nyeupe na wala hakuna shimo, lakini pamefifia, basi, atamutenga huyu mutu kwa muda wa siku saba.


Lakini, kama ile sehemu haijaenea, basi, lile ni kovu la jipu tu. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa safi.


Siku ya saba kuhani atarudi na kuangalia tena nyumba hiyo. Ikiwa taka lile limeenea katika kuta za nyumba hiyo,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ