Walawi 13:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Ikiwa mutu yeyote atakuwa na kivimba au upele au chunuku juu ya mwili wake, ikionekana kwamba ni ukoma, basi, ataletwa kwa kuhani Haruni au mumoja wa wana wake anayekuwa kuhani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |