17 Kuhani atamwangalia na akiona kwamba kimegeuka kuwa cheupe, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi.
Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mutu yule atarudi kwa kuhani.
Kama mutu ameshikwa na jipu, nalo limepona,
Kisha, atamunyunyizia yule mwenye kutakaswa ile damu mara saba, halafu atamutangaza mutu huyo kuwa safi. Atamwacha yule ndege muzima aende zake katika pori inje ya muji.