16 Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mutu yule atarudi kwa kuhani.
Kuhani ataangalia hicho kidonda kibichi na kumutangaza kuwa ni muchafu kwa sababu huo ni ukoma.
Kuhani atamwangalia na akiona kwamba kimegeuka kuwa cheupe, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi.
Yesu alipokuwa katika muji mumoja kati ya miji ile, kukatokea mutu aliyejaa na ukoma mwili wote. Naye alipomwona Yesu, akainama uso mpaka chini, akamusihi akisema: “Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa.”