15 Kuhani ataangalia hicho kidonda kibichi na kumutangaza kuwa ni muchafu kwa sababu huo ni ukoma.
Lakini kukionekana juu ya mwili wa mutu yule kidonda kibichi, basi, mutu yule atakuwa muchafu.
Lakini hicho kidonda kikigeuka tena kuwa cheupe, mutu yule atarudi kwa kuhani.