14 Lakini kukionekana juu ya mwili wa mutu yule kidonda kibichi, basi, mutu yule atakuwa muchafu.
Kuhani atamwangalia na kama kivimba cheupe ambacho kimefanya nywele zake zikuwe nyeupe na kivimba kile kimegeuka kuwa kidonda kibichi,
pale kuhani atamwangalia. Kuhani akiona kwamba ukoma umemwenea mwili muzima, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi kwa sababu mwili umegeuka kuwa mweupe na hivyo mutu yule ni safi.
Kuhani ataangalia hicho kidonda kibichi na kumutangaza kuwa ni muchafu kwa sababu huo ni ukoma.