Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kama ukoma umemushika na umeenea mwili muzima, toka kwenye kichwa mpaka kwenye miguu kama vile kuhani atakavyoona,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:12
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

tafazali, chochote ambacho mutu yeyote au watu wako wote wa Waisraeli wanakuomba na kukusihi, kila mutu akijua taabu ndani ya moyo wake na kunyoosha mikono yake kuelekea nyumba hii,


Mimi sifai kitu. Nitakujibu nini? Ninafunga kinywa changu.


Kwa hiyo ninatubu na kujihukumu; ninajinyenyekeza na kuikaa juu ya mavumbi na majivu.


Hakuna hata mumoja anayekuja kukuomba; hakuna anayejishugulisha kukutafuta. Wewe unauficha uso wako mbali nasi, umetuacha tufungwe na maovu yetu.


huo ni ukoma wa muda murefu. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu. Hatamutenga mutu yule kwa uchunguzi maana yeye ni muchafu.


pale kuhani atamwangalia. Kuhani akiona kwamba ukoma umemwenea mwili muzima, basi, atamutangaza mutu yule kuwa safi kwa sababu mwili umegeuka kuwa mweupe na hivyo mutu yule ni safi.


Tunajua kwamba Sheria inaelekea maisha ya kiroho, lakini mimi ni mutu wa kimwili, kwa maana nimeuzishwa kama vile mutumwa wa zambi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ