10 Kuhani atamwangalia na kama kivimba cheupe ambacho kimefanya nywele zake zikuwe nyeupe na kivimba kile kimegeuka kuwa kidonda kibichi,
Kwa hiyo ukoma wa Namani utakushika wewe, na wazao wako milele.” Basi, Gehazi aliondoka akiwa ameshikwa na ukoma, na ngozi yake ilikuwa nyeupe kama teluji.
Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.
huo ni ukoma wa muda murefu. Kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu. Hatamutenga mutu yule kwa uchunguzi maana yeye ni muchafu.
Au, ikiwa kuna pahali palipoungua na ile nyama mbichi imegeuka kuwa nyekundu-nyeupe au ni nyeupe,
Kama mutu ameshikwa na ukoma, ataletwa kwa kuhani.
Ninyi munawachukia wanaotetea haki na wenye kusema ukweli katika tribinali.
Watu wa dunia hawawezi kuwachukia ninyi, lakini wananichukia mimi kwa sababu ninashuhudia kwamba matendo yao ni mabaya.