Walawi 12:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kuhani atamutolea mbele ya Yawe na kumufanyia huyo mama ibada ya upatanisho mbele ya Yawe. Hivyo huyo mwanamuke atakuwa safi kwa ajili ya kutokwa na damu yake. Hii ni sheria inayoelekea mwanamuke yeyote anayezaa mutoto mwanaume au mwanamuke. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |