Walawi 12:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Siku za kutakaswa kwake zitakapotimia, ikuwe amepata mutoto mwanaume au mwanamuke, atamuletea kuhani kwenye mulango wa hema la mukutano mwana-kondoo wa mwaka mumoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na kitoto cha njiwa au hua, kwa ajili ya sadaka ya zambi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |