Walawi 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Lakini, kama amezaa mutoto mwanamuke, basi, atakuwa muchafu kwa muda wa majuma mawili kama vile inavyokuwa kwa wakati wa ugonjwa wake wa mwezi. Ataendelea katika kutakasika kwake kwa muda wa siku makumi sita na sita. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |