Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 11:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Musikule wibari. Yeye anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki. Kwenu huyo ni muchafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 11:5
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanakufa wangali bado vijana, maisha yao yanaisha kama ya washerati.


Milima mirefu ni makao ya mbuzi wa pori; makimbilio ya sungura wa pori ni chini ya mawe.


sungura ni nyama wasiokuwa na uwezo, lakini wanajitengenezea makao chini ya mawe;


Kati ya nyama wote katika dunia, mumeruhusiwa kula nyama yeyote mwenye kwato zinazogawanyika sehemu mbili na ambaye anacheua.


Lakini musikule nyama yeyote ambaye anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili, au ambaye kwato zake zimegawanyika lakini hacheui. Musikule ngamia, maana anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili. Kwenu huyo ni muchafu.


Musikule sungura. Yeye anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki. Kwenu huyo ni muchafu.


“Lakini kila mutu anayesikia maneno ninayotoka kusema bila kuyashika, anafananishwa na mutu mupumbafu aliyejenga nyumba yake juu ya udongo wenye kichanga.


Lakini musikule nyama yeyote ambaye kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili na hacheui. Musikule ngamia, sungura na pelele, ingawa wanacheua lakini kwato zao hazigawanyiki sehemu mbili; hao ni wachafu kwenu.


Kwa inje watajionyesha kama watu wenye kushikamana na ibada, lakini wanazarau uwezo wake. Ujiepushe na watu hao.


Wanajidai kwamba wanamujua Mungu, lakini wanamukana kwa matendo yao. Wao ni wenye machukizo, waasi hata hawafai kwa kufanya kazi yo yote nzuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ