41 Kiumbe chochote kinachotambaa katika dunia ni chukizo kwenu, musikikule.
Mungu akasema: “Maji yajae makundi ya viumbe vyenye uzima. Na ndege waruke katika anga.”
Viumbe vyote vyenye uzima katika inchi vikakufa: ndege, nyama wa kufugwa, nyama wa pori, nyama wadogowadogo katika inchi kavu na wanadamu wote;
Wadudu wote wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine, hao ni wachafu kwenu.
Lakini wadudu wengine wote wenye mabawa na miguu mine ni wachafu kwenu.
Viumbe hivi ni vichafu kwenu: fuko, panya, kila aina ya mujusi,
Chochote kinachotambaa kwa tumbo lake, chochote kinachotembea kwa miguu mine au miguu mingi, musikikule kwa maana ni chukizo.