Walawi 11:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Ikiwa muzoga wa viumbe hao unaangukia kitu chochote, kikuwe ni kifaa cha mbao au nguo au ngozi au gunia au chombo chochote kinachotumiwa kwa kazi yoyote, chombo hicho kitakuwa kichafu mpaka magaribi. Kwa kukifanya kikuwe safi kinapaswa kusafishwa kwa maji. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |