Lakini musikule nyama yeyote ambaye anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili, au ambaye kwato zake zimegawanyika lakini hacheui. Musikule ngamia, maana anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili. Kwenu huyo ni muchafu.
Watu hao walikuwa wenye nia nzuri zaidi kuliko watu wa Tesalonika; nao walipokea Neno la Mungu kwa hamu kubwa. Kila siku walichunguza Maandiko Matakatifu wapate kujua kwamba maneno Paulo aliyosema yalikuwa ya haki.
Vilevile musikule nguruwe, maana ijapokuwa kwato zake zinagawanyika sehemu mbili, yeye hacheui; hao ni wachafu kwenu. Musikule nyama zao wala musiguse mizoga yao.