23 Lakini wadudu wengine wote wenye mabawa na miguu mine ni wachafu kwenu.
Wadudu wote wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine, hao ni wachafu kwenu.
Hao ni: kila aina ya nzige, kila aina ya senene, kila aina ya panzi na kila aina ya parare.
Kugusa nyama fulanifulani kunamufanya mutu kuwa muchafu. Yeyote atakayegusa mizoga yao atakuwa muchafu mpaka magaribi.
Nyama wote wanaotembelea kwa vitanga vyao ingawa wana miguu mine, ni wachafu kwenu na yeyote atakayegusa muzoga wa nyama kama huyo atakuwa muchafu mpaka magaribi.
Kiumbe chochote kinachotambaa katika dunia ni chukizo kwenu, musikikule.
au akigusa kiumbe chochote chenye kutambaa ambacho kinamufanya mutu kuwa muchafu au mutu ambaye anaweza kumuchafua wa aina yoyote,
Na ndani yake kulikuwa kila namna ya nyama wenye miguu mine na wenye kutambaa pamoja na ndege.