22 Hao ni: kila aina ya nzige, kila aina ya senene, kila aina ya panzi na kila aina ya parare.
Muimarishe mikono zaifu, mukaze magoti yanayoregea.
Lakini, kati ya wadudu wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine mirefu kwa kurukia juu ya udongo munaweza kula.
Lakini wadudu wengine wote wenye mabawa na miguu mine ni wachafu kwenu.
Yoane alikuwa akivaa nguo iliyotengenezwa na manyoya ya ngamia na mukaba wa ngozi katika kiuno. Naye alikuwa akikula nzige na asali ya pori.
Mumupokee yule anayekuwa zaifu katika imani pasipo kubishana naye juu ya mawazo yake.
Sisi tunaokuwa na nguvu katika imani tunapaswa kubeba muzigo wa uzaifu wa wale wasiokuwa na nguvu. Tusifanye tu mambo yanayotupendeza wenyewe.
Tuna maneno mengi ya kusema juu ya jambo hili, lakini ni vigumu kuyaeleza kwenu kwa sababu ninyi mumekuwa na masikio magumu.