21 Lakini, kati ya wadudu wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine mirefu kwa kurukia juu ya udongo munaweza kula.
Wawaambie Waisraeli hivi:
Wadudu wote wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine, hao ni wachafu kwenu.
Hao ni: kila aina ya nzige, kila aina ya senene, kila aina ya panzi na kila aina ya parare.
Na ndani yake kulikuwa kila namna ya nyama wenye miguu mine na wenye kutambaa pamoja na ndege.