19 korongo, aina zote za koikoi, hudihudi na popo.
Mbuni anapigapiga mabawa yake kwa furaha, lakini hawezi kuruka kama korongo.
Humo, ndege wanajenga chicha zao, korongo wanafanya makao yao katika misunobari.
Siku hiyo, watu watawatupia panya na popo sanamu za feza na zahabu walizojitengenezea kusudi waziabudu.
mumbi, mwari, muderi,
Wadudu wote wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine, hao ni wachafu kwenu.
Nilipoangalia, niliona wanawake wawili wanatokea; walikuwa wakirushwa na upepo, nao walikuwa na mabawa yenye nguvu kama ya korongo. Wanawake wale wakakiinua kile kikapu katika anga.
membe, koikoi na aina zake, hudihudi na popo.