16 mbuni, kirukanjia, dudumizi, aina zote za kipanga,
Kutokana na kuugua kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.
aina zote za kibombobombo,
bundi, munandi, bundi kubwa,
Halafu akalalamika kwa sauti kubwa, akisema: “Umebomoka, umebomoka kabisa ule muji mukubwa Babeli! Sasa umekuwa makao ya mashetani ya kila namna, ya pepo wachafu, na makimbilio ya ndege wote wachafu na wenye kuchukiza.