Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 11:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Ndege hawa wote ni wachafu kwenu. Kwa hiyo, musiwakule: tai, furukombe, kipungu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 11:13
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Njia ya kwenda kule hakuna ndege mukula nyama anayeijua; na wala jicho la tai halijaiona.


Ni nani anayewapa vibombobombo chakula chao, vitoto vyao vinaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na kule kwa njaa?


Angalia! Adui anakuja akivuma kama mawingu. Magari yake ya vita ni kama zoruba, nao farasi wake wa vita wanaruka mbio kuliko tai. Ole kwetu! Tumeangamia!


Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.


Yawe anasema hivi: Taifa litaruka mbio juu ya Moabu, kama tai aliyekunjua mabawa yake.


Waliotufuatilia walikuwa wepesi kuliko tai, walitukimbiza kwenye milima walituvizia katika jangwa.


Mupige baragumu! Adui anakuja kama tai kuishambulia nyumba ya Yawe, kwa sababu wamelivunja agano langu na kuiasi sheria yangu.


Viumbe hivyo vitakuwa siku zote vichafu kwenu. Musikule nyama yao, wala musiguse mizoga yao maana ni chafu.


Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba ni kichafu kwenu.


Farasi wao ni wepesi kuliko chui, wakali kuliko imbwa wa pori wenye njaa. Waaskari wapanda-farasi wao wanatoka mbali, wanaruka mbio kama tai anavyorukia nyama.


Nilipoangalia, niliona wanawake wawili wanatokea; walikuwa wakirushwa na upepo, nao walikuwa na mabawa yenye nguvu kama ya korongo. Wanawake wale wakakiinua kile kikapu katika anga.


“Nafasi yoyote kunapokuwa muzoga, ndipo tai wanapokusanyika.


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ