Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Musa akawaita Misaeli na Elisafani, wana wa Uzieli, baba mudogo wa Haruni, akawaambia wakuje kuondoa maiti za wandugu zao kutoka Pahali Patakatifu na kuzipeleka inje ya kambi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 10:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana wa Gersoni walikuwa: Libuni na Simei. Wana wa Kohati walikuwa:


Musa alikuwa na desturi ya kuchukua lile hema na kulisimika inje ya kambi. Hema hilo alilipa jina, hema la mukutano. Mutu yeyote aliyetaka shauri kwa Yawe alikwenda kwenye hema la mukutano inje ya kambi.


Wana wa Kohati walikuwa: Amuramu, Izihari, Hebroni na Uzieli. Kohati aliishi miaka mia moja makuni tatu na mitatu.


Wana wa Uzieli walikuwa: Misaeli, Elisafani na Sitri.


Wana wa Kohati kwa kufuata jamaa zao: Amuramu, Isihari, Hebroni na Uzieli.


naye Elisafani, akiwa mukubwa wa ukoo huo wa jamaa za Wakohati.


Alipokaribia kwenye mulango wa ukuta wa muji, kukatokea watu wanaobeba maiti ya kijana mumoja aliyekuwa mutoto wa pekee wa mama mumoja mujane. Nao watu wengi wa muji ule walikuwa wakimusindikiza yule mama.


Kisha vijana wakakuja, wakafunika maiti yake wakamubeba mbali na muji na kumuzika.


Watu wenye kuogopa Mungu wakamuzika Stefano na kumufanyia kilio kikubwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ