18 Tena, kwa vile damu yake haikuletwa ndani ya Pahali Patakatifu, mulipaswa kumukulia ndani ya Pahali Patakatifu kama vile nilivyoamuru.
Watakula vitu hivyo vilivyotumika kwa utakaso na kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho, lakini mutu mwingine asiruhusiwe kuvikula maana ni vitakatifu.
Kuhani anayetolea sadaka hiyo ndiye atakayeikula. Itakuliwa katika Pahali Patakatifu, kwenye kiwanja cha hema la mukutano.