Walawi 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Basi, Musa akachunguza kwa uangalifu juu ya mbuzi mumoja aliyetolewa sadaka kwa ajili ya zambi, akatambua kwamba alikwisha kuteketezwa kwa moto. Hivyo akawakasirikia sana Eleazari na Itamari, wana wa Haruni waliobakia, akawauliza: အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |