Walawi 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Musa akamwambia Haruni na wana wake waliobakia, Eleazari na Itamari: Mutwae ile sehemu ya sadaka ya vyakula iliyobakia kutoka sadaka Yawe anazotolewa kwa moto. Muikule karibu na mazabahu bila kutiwa chachu kwa sababu ni takatifu kabisa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |