Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kisha makuhani hao watatwaa vile vipande vya nyama, kichwa na mafuta, na kuviweka juu ya kuni juu ya mazabahu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 1:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi! Mulete ngombe dume wawili. Manabii wa Bali wajichagulie ngombe dume mumoja, wamuchinje, wamukate vipandevipande na kumuweka juu ya kuni, bila kuwasha moto. Nami vilevile nitamutwaa yule ngombe dume mwingine, nitamuchinja na kumuweka juu ya kuni bila kuwasha moto.


Kisha akapanga kuni vizuri, akakata vipandevipande ile ngombe dume, akaviweka juu ya kuni. Kisha akawaambia watu: “Mujaze mitungi mine maji muimwangie juu ya sadaka hii ya kuteketezwa pamoja na kuni.” Wakafanya hivyo.


Ndani ya baraza hilo kulizungukwa na vijiti vya kutundikia, na nyama ziliwekwa juu ya meza.


Kisha yule mutu atamukata vipandevipande, akivitenga kichwa pamoja na mafuta yake, na kuhani ataviweka kwenye moto juu ya mazabahu.


Mafuta yote yanayofunika na yanayokuwa juu ya matumbotumbo ya nyama wa sadaka hiyo ya amani atayateketeza kama sadaka Yawe anayotolewa kwa moto.


Atatoa vilevile zile figo mbili na mafuta yake pamoja na ile sehemu bora ya maini.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ