Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Huyo mutu atachuna huyo nyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumukata vipandevipande.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 1:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe Mungu akawatengenezea Adamu na muke wake nguo za ngozi, akawavalisha.


Kisha akapanga kuni vizuri, akakata vipandevipande ile ngombe dume, akaviweka juu ya kuni. Kisha akawaambia watu: “Mujaze mitungi mine maji muimwangie juu ya sadaka hii ya kuteketezwa pamoja na kuni.” Wakafanya hivyo.


Ndani ya baraza hilo kulizungukwa na vijiti vya kutundikia, na nyama ziliwekwa juu ya meza.


Hao makuhani wazao wa Haruni watazipanga kuni juu ya mazabahu na kuwasha moto.


Mikate hiyo itakatwakatwa na kumiminiwa mafuta. Hiyo ni sadaka ya ngano.


Kuhani anayetolea sadaka ya kuteketezwa ya mutu yeyote, atatwaa ngozi ya nyama aliyetolewa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ