Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 1:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kuhani ataleta ndege huyo kwenye mazabahu, atakongonyoa kichwa chake na kukiteketeza juu ya mazabahu. Damu yake itanyunyiziwa kwenye ubavu wa mazabahu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 1:15
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa mukubwa wa waimbaji. Mutindo wa wimbo “Swala wa mapambazuko”.


Uokoe nafsi yangu toka upanga, uokoe maisha yangu toka mikono ya imbwa hao!


Hata watu wa Mungu wanawafuata, hawaoni kwao kitu chochote kibaya na kusadiki kila wanachosema.


Yawe alipenda kumuponda kwa mateso. Alitoa uzima wake kwa ajili ya kuondoa zambi. Mutumishi wa Mungu atakuwa na wazao; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mupango wa Yawe.


Lakini Kristo amemimia Roho juu yenu. Na kufuatana na vile Roho yule anavyokaa ndani yenu, hamuhitaji kufundishwa na mutu, kwa maana Roho wake anawafundisha mambo yote. Roho yule anasema ukweli wala hasemi uongo. Basi kama vile Roho alivyowafundisha, mukae ndani ya Kristo.


Ikakuwa hivyo, kwa maana alipoamuka asubui kesho yake, alikamua umande uliokuwa juu ya ile ngozi, akajaza bakuli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ