Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waefeso 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 “Heshimu baba yako na mama yako.” Hii ni amri ya kwanza ambayo waliongeza ahadi hii juu yake:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waefeso 6:2
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uwaheshimu baba yako na mama yako, kusudi uishi maisha marefu katika inchi ninayokupatia mimi Yawe, Mungu wako.


Anayemulaani baba yake au mama yake, mwangaza wa uzima wake utazimika kama taa katika giza.


Lakini Yeremia aliwaambia Warekabu hivi: Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Ninyi Warekabu mumetii amri ya babu yenu, mukashika kanuni zake zote na kutenda kama alivyowaamuru.


Musijenge nyumba, musilime mashamba, wala musikuwe na shamba la mizabibu. Lakini mutaishi katika mahema siku zote za maisha yenu, kusudi mupate kuishi siku nyingi katika inchi munamoishi kama wageni.


Kwako baba na mama wanazarauliwa. Mugeni anayekaa kwako ananyanganywa mali yake. Wayatima na wajane wanaonewa.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mutoto anamuheshimu muzazi wake, na mutumishi anamuheshimu bwana wake. Ikiwa mimi ndiye Baba wenu, mbona munanivunjia heshima? Ikiwa mimi ni bwana wenu, mbona hamuniheshimu? Ninasema hivyo kwa ninyi makuhani munaozarau jina langu. Nanyi munauliza: Sisi tumezarau jina lako namna gani?


Mumupe kila mutu haki yake: mulipishaji wa kodi, mumulipe kodi; mulipishaji wa ushuru, mumulipe ushuru. Mumuheshimu anayestahili kuheshimiwa na mumutukuze anayestahili kutukuzwa.


“Kusudi upate heri na uishi siku nyingi katika dunia.”


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayezarau baba yake au mama yake.’ Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


“Uheshimu baba yako na mama yako, kama vile mimi Yawe, Mungu wako, nilivyokuamuru, kusudi uishi maisha marefu na kufanikiwa katika inchi ninayokupatia mimi Yawe, Mungu wako.


Lakini kama mujane akiwa na watoto au wajukuu, inafaa wajifunze kwanza kutimiza mapaswa yao ya kidini kwa ajili ya jamaa zao wenyewe na kuwarudishia wazazi na babu zao mema waliyowatendea, kwa maana jambo hilo linamupendeza Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ