Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waefeso 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Vilevile kusisikilike maneno ya matusi ya ovyo ovyo wala machafu, kwa maana hayana mafaa. Kinachofaa ni kumushukuru Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waefeso 5:4
29 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mushangilie kwa sababu ya Yawe, enyi watu wa haki! Watu wa usawa ndio wanaostahili kumusifu Mungu.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


Ulimi wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini watu wapumbafu wanamwanga maneno ya ujinga.


ndivyo mutu ambaye anadanganya jirani, kisha anasema: “Nilikuwa ninafanya muzaha tu!”


Mupumbafu anaanza kusema kwa maneno ya kijinga, na kumaliza masemi yake kwa wazimu wa hatari.


Hivyo, mufalme Dario akatia sahihi kwenye sheria hiyo.


uasherati, tamaa mbaya, matendo mabaya, ukorofi, maisha ya ovyo, wivu, matukano, majivuno na upumbafu.


Na vilevile vyombo vingine vilivyotoka katika muji Tiberia vilifika karibu na pahali pale walipokula mikate, Bwana alipokuwa amekwisha kushukuru Mungu.


Hivi kufuatana na vile walivyokataa kumutambua Mungu, Mungu akawaacha wafuate akili yao ya upotevu, kusudi wafanye mambo wasiyopaswa kufanya.


nanyi wenyewe mutatusaidia kwa njia ya maombi. Kwa hivi Mungu atajibu kwa maombi yaliyotolewa na watu wengi kwa ajili yetu na kututendea wema, na watu wengi watamushukuru kwa ajili yetu.


Shukrani kwa Mungu kwa ajili ya zawadi yake inayopita kipimo!


mimi sichoki kumushukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika maombi yangu.


Musiseme neno lolote baya, lakini kama ni lazima museme tu maneno mazuri na ambayo yanasaidia kuwajenga wengine na yanayoleta neema kwa wale wanaoyasikia.


Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.


Lakini sasa mutupilie mbali mambo haya yote: kasirani, chuki, uovu, masingiziano na musiseme neno lolote baya.


Sijui namna gani tunavyoweza kumushukuru Mungu kwa ajili yenu kwa sababu ya furaha yote tunayokuwa nayo mbele yake kwa ajili yenu.


Mumushukuru Mungu katika mambo yote. Kwa maana hayo ndiyo mambo Mungu anayotaka mufanye katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.


Kwa sababu hii, ingawa ninakuwa na mamlaka niliyopewa na Kristo kukuagiza neno unalopaswa kufanya,


Basi kwa njia ya Yesu, tumutolee Mungu sadaka za kumusifu siku zote, maana yake kutangaza kwamba tunaaminia jina lake.


Kwa maana kwa masemi yao ya kujivuna na yasiyokuwa na maana, na kwa njia ya tamaa zao mbaya za kimwili, wanawavuta watu ambao wanaanza kuwaepuka, na wale wanaoishi katika udanganyifu.


Mungu alimwokoa Loti, mutu wa haki, aliyehuzunishwa sana na mwenendo mubaya wa wale watu waovu.


Lakini watu hawa wanasema vibaya juu ya mambo wasiyoyafahamu; na mambo wanayoyajua kwa tabia yao kama nyama wasiokuwa na akili, ndiyo yale yanayowaangamiza.


Wanafanana na zoruba kubwa ya bahari na matendo yao ya haya yanaonekana kama pofu ya zoruba. Wanafanana vilevile na nyota zinazotangatanga; Mungu amekwisha kuwawekea nafasi katika giza kubwa kwa milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ