Waefeso 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa upendo wake mukubwa; အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kwa hiyo akaomba: Yawe, si hayo ndiyo mambo yaleyale niliyowaza utayafanya nilipokuwa katika inchi yangu? Ndiyo maana nilifanya haraka kukimbilia Tarsisi. Nilijua kwamba wewe ni Mungu ambaye umejaa huruma na rehema, haukasiriki upesi, wewe ni mwingi wa wema, na tayari kubadilisha nia yako kusudi usiazibu.