Waefeso 2:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Zamani, sisi wote vilevile tulikuwa kama wao. Tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kimwili na kutenda kufuatana na mapenzi ya mwili na roho zetu. Kwa sababu ya hali yetu ya kimwili, hatungeponyoka kasirani ya Mungu kama wengine. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |