Waefeso 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Basi mukumbuke namna mulivyokuwa zamani ninyi munaokuwa kwa kizalikio watu wa mataifa mengine. Wayuda wanawaita ninyi watu wasiotahiriwa, lakini wao wanajiita wenye kutahiriwa kwa sababu ya kitambulisho cha kutahiriwa na watu katika miili yao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |