Waebrania 9:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200219 Kwa maana, kwanza Musa aliwatangazia watu wote amri zote za Sheria. Kisha akatwaa damu ya ngombe pamoja na maji, naye akavinyunyiza juu ya kitabu cha Sheria na juu ya watu wote akitumia manyoya mekundu na vitawi vya muti wa hisopo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |