Waebrania 9:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Kwa sababu hii, Kristo ni mupatanishi wa agano jipya. Kwa njia ya kufa kwake aliwakomboa watu toka katika makosa waliyofanya chini ya uongozi wa agano la kwanza, kusudi wale walioalikwa na Mungu wapate kupokea urizi wa milele aliowaahidia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |