Waebrania 8:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Agano lile halitakuwa sawa na lile nililofanya na babu zao siku nilipowakamatia kwenye mukono na kuwaondoa toka inchi ya Misri. Kwa sababu hawakushika lile agano, kwa hiyo vilevile sikuwashugulikia. Ni Bwana wetu Mungu anayesema hivyo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |