Waebrania 7:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200227 Yeye hahitaji kutoa sadaka kila siku kama vile Makuhani wengine Wakubwa, kwanza kwa ajili ya zambi zake mwenyewe na kisha kwa ajili ya zambi za watu. Kwa maana amefanya vile mara moja tu wakati alipojitoa mwenyewe kufa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |