Waebrania 7:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Basi Yesu ndiye Kuhani Mukubwa anayefaa kwa ajili yetu. Yeye ni mutakatifu, hana kosa wala alama ya uchafu. Ametengwa mbali na wenye zambi, naye amenyanyuliwa juu sana mbinguni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |