Waebrania 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Lakini tunatamani sana kwamba kila mumoja kati yenu aendelee kuonyesha bidii ile mpaka mwisho, kusudi mambo yale munayotumainia yapate kutimizwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Muheshimiwa Teofilo: Watu wengi wamejaribu kuandika juu ya mambo yale yaliyotendeka katikati yetu. Wameyaandika sawa vile tulivyoelezwa na wale walioona mambo yale tangu mwanzo, na waliotangaza ujumbe ule. Inafaa nami vilevile kisha kuchunguza kwa uangalifu mambo yote tangu mwanzo, nikuandikie kwa utaratibu,