Waebrania 5:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Wakati Yesu alipoishi katika dunia, aliomba na kusihi kwa malalamiko makubwa pamoja na kutoa machozi kwa Mungu ambaye angeweza kumwokoa toka katika kifo. Mungu alimusikia Yesu kwa sababu yeye alimuheshimu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |