Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Waebrania 4:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kwa maana imesemwa pahali fulani katika Maandiko Matakatifu juu ya siku ya saba: “Siku ya saba, Mungu akapumzika kwa maana alikuwa amemaliza kazi zake zote.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Waebrania 4:4
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana kwa siku sita mimi Yawe niliumba mbingu na inchi, bahari na vyote vinavyokuwa ndani yake, kisha nikapumzika siku ya saba. Kwa hiyo mimi Yawe nilibariki siku ya Sabato, nikaitakasa.


Jambo hili litakuwa kitambulisho cha kudumu kati ya Waisraeli na mimi, maana mimi Yawe nilifanya mbingu na dunia kwa muda wa siku sita, lakini siku ya saba niliacha kufanya kazi, nikapumzika.


Lakini siku ya saba ni Sabato ya Yawe, Mungu wako. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mutumwa wako, wala mujakazi wako, wala ngombe wako, wala punda wako, wala nyama wako yeyote, wala mugeni anayekuwa katika nyumba yako, kusudi mutumwa wako na mujakazi wako wapate kupumzika vilevile kama vile wewe.


Tena maneno haya yanahakikishwa na pahali pengine katika Maandiko Matakatifu: “Mutu ni nini hata umukumbuke, mwanadamu ni nini hata umushugulikie?


Kwa maana yule anayeingia kwenye mapumziko anayotayarisha, anapumzika kwa kuwa amemaliza kazi zake zote kama vile Mungu alivyopumzika alipomaliza kazi zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ