Waebrania 13:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Musidanganywe na mafundisho mengine ya kigeni ya kila namna. Kwa maana mioyo yetu inapaswa kutiwa nguvu kwa njia ya neema ya Mungu, wala si kwa njia ya kushika kanuni zinazoagizwa juu ya vyakula. Kanuni hizo haziwafalii kitu wale wanaozishika. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |